HUYU NDIYE MWANAMKE TAJIRI ZAIDI HUKO UGANDA KAMA SI AFRIKA MASHARIKI NZIMA, ANAMILIKI MAGARI YA KIFAHARI YENYE DHAMANI YA MABILIONI YA SHILINGI!!
Zari (Uganda) @Zarithebosslady
Msichana huyu tajiri, mfanyabiashara na mwanamuziki anasifika kwa kuendesha gari zenye gharama kubwa zaidi kuliko msanii yeyote nchi Uganda. Pamoja na kuwa na biashara zingine nyingi, Zari ni mwenyekiti mtendaji (CEO) wa brooklyncitycollege.co.za (chuo cha fani mbalimbali kilichopo Afrika Kusini).











CREDIT : TANZANIA NEWS
Msichana huyu tajiri, mfanyabiashara na mwanamuziki anasifika kwa kuendesha gari zenye gharama kubwa zaidi kuliko msanii yeyote nchi Uganda. Pamoja na kuwa na biashara zingine nyingi, Zari ni mwenyekiti mtendaji (CEO) wa brooklyncitycollege.co.za (chuo cha fani mbalimbali kilichopo Afrika Kusini).











CREDIT : TANZANIA NEWS
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni