vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumapili, 21 Desemba 2014

Shilole Avishwa Pete ya Uchumba na Nuh Mziwanda

Shilole Avishwa Pete ya Uchumba na Nuh Mziwanda

Mwigizaji na mwanamziki maarufu wa kike hapa Bongo, Zuwena Mohamed  “Shilole” ambae ni mama wa watoto wawili  usiku huu akishereke siku yake ya kuzaliwa maeneo ya Mikocheni jiji Dar, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa muda mrefu sasa, Nuh Mziwanda ambae pia ni mwanamziki.

Tunawatakia kila kheri wapendanao hawa.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni