Shilole Avishwa Pete ya Uchumba na Nuh Mziwanda
Mwigizaji
na mwanamziki maarufu wa kike hapa Bongo, Zuwena Mohamed “Shilole” ambae ni
mama wa watoto wawili usiku huu akishereke siku yake ya kuzaliwa maeneo ya
Mikocheni jiji Dar, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa muda mrefu sasa,
Nuh Mziwanda ambae pia ni mwanamziki.
Tunawatakia kila kheri wapendanao hawa.
Tunawatakia kila kheri wapendanao hawa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni