Zari Ampokea Diamond Kampala kwa Mbwembwe Nyingi Huku Waandishi wa Habari wakishuhudia Tukio
Diamond
Platnumz ametua Kampala jijini Uganda jana tayari kwaajili ya kutumbuiza leo hii
kwenye show ya Zari All White Ciroc Party jijini humo. Diamond alipokelewa
kwenye uwanja wa ndege na mpenzi wake Zari Ttale aka The Bosslady huku waandishi
wa vyomba mbali mbali maarufu wakishuhudia tukio hilo .
Wawili hao wamekutana kwa mara nyingine baada ya hivi karibuni kuwa pamoja kwenye tuzo za Channel O.
Wawili hao wamekutana kwa mara nyingine baada ya hivi karibuni kuwa pamoja kwenye tuzo za Channel O.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni