vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatano, 17 Desemba 2014

Zari Ampokea Diamond Kampala kwa Mbwembwe Nyingi Huku Waandishi wa Habari wakishuhudia Tukio

Zari Ampokea Diamond Kampala kwa Mbwembwe Nyingi Huku Waandishi wa Habari wakishuhudia Tukio

Diamond Platnumz ametua Kampala jijini Uganda jana tayari kwaajili ya kutumbuiza leo hii kwenye show ya Zari All White Ciroc Party‬ jijini humo. Diamond alipokelewa kwenye uwanja wa ndege na mpenzi wake Zari Ttale aka The Bosslady huku waandishi wa vyomba mbali mbali maarufu wakishuhudia tukio hilo .

Wawili hao wamekutana kwa mara nyingine baada ya hivi karibuni kuwa pamoja kwenye tuzo za Channel O.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni