Aunty Ezekiel Afunguka na Kusema Mume Wake Hajui Kama Ana Mimba
Stori:Musa mateja
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama
Kijacho’ amefunguka kuwa, licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday
Demonte hana taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho.Akipiga stori na paparazi wetu
hivi karibuni, Aunt alisema maneno hayo yanaweza kuwashangaza watu lakini ndiyo
ukweli wenyewe.
Alidai kuwa yeye na mume wake huyo
hawajaachana na hajapewa talaka kama watu wanavyodai lakini hajui kwamba ni mama
mtarajiwa na hata akijua hawezi kumuacha.
“Kiukweli mume wangu hajui kuwa nina
ujauzito na hata akijua wala hawezi kuniacha, ananipenda sana. Sijaachana naye
na wala sijapewa talaka, hayo yanayosemwa ni umbeya tu,” alidai Aunt.
Stori:Musa mateja
Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama
Kijacho’ amefunguka kuwa, licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday
Demonte hana taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho.Akipiga stori na paparazi wetu
hivi karibuni, Aunt alisema maneno hayo yanaweza kuwashangaza watu lakini ndiyo
ukweli wenyewe.
Alidai kuwa yeye na mume wake huyo
hawajaachana na hajapewa talaka kama watu wanavyodai lakini hajui kwamba ni mama
mtarajiwa na hata akijua hawezi kumuacha.
“Kiukweli mume wangu hajui kuwa nina
ujauzito na hata akijua wala hawezi kuniacha, ananipenda sana. Sijaachana naye
na wala sijapewa talaka, hayo yanayosemwa ni umbeya tu,” alidai Aunt.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni