vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Alhamisi, 8 Januari 2015

Diamond Apewe Ofa ya Dola 40,000 ili Amuache Zari The Lady Boss Akatunze Watoto Wake

Katika Hali ya Kushangaza Jana kwenye Mitandao hasa Instagram aliibuka mtu anayejiita Kinglaurenc ambae inasemekana ni rafiki wa Baba watoto wa Zari Akimtaka Mwanamuziki Diamond Kupokea Dola za Kimarekani elfu 40,000 ili amwache Zari Akalee Watoto Wake..Hii imekuja baada ya Zari muda wote kuonekana kuzunguka na Diamond katika Show zake huku akiwaacha watoto wake na baba yao South Africa.
 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni