Diamond Apewe Ofa ya Dola 40,000 ili Amuache Zari The Lady Boss Akatunze Watoto Wake
Katika Hali ya Kushangaza Jana kwenye Mitandao hasa Instagram aliibuka
mtu anayejiita Kinglaurenc ambae inasemekana ni rafiki wa Baba watoto wa
Zari Akimtaka Mwanamuziki Diamond Kupokea Dola za Kimarekani elfu
40,000 ili amwache Zari Akalee Watoto Wake..Hii imekuja baada ya Zari
muda wote kuonekana kuzunguka na Diamond katika Show zake huku akiwaacha
watoto wake na baba yao South Africa.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni