Martin Kadinda na Aunty Ezekiel Wanaswa Katika Pozi Tata Wakiwa Ukumbini
Wema Sepetu kushoto , kulia ni Aunty na Martin Kadinda Wakifanya yao |
“Mh jamani huyu Aunt si ana mume? Halafu si ana kibuzi chake kingine? Huyu Martin naye imekuwaje tena,” alisikika jamaa mmoja ukumbini humo.
Alipoulizwa Aunt kuhusu tukio hilo, alisema wamekumbatiana kirafiki tu na si wapenzi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni