vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumanne, 3 Februari 2015

Kweli Bongo Flava Inalipa Ona Jumba la Kifaari la Mwanamuziki JUX

Kweli Bongo Flava Inalipa Ona Jumba la Kifaari la Mwanamuziki JUX


Msani mahiri wa Bongo Flava Jux leo amepost Mjengo kwenye Account yake ya instagram na kuandika amekamilisha ndogo yake kubwa ya utoto, hii inamaanisha sanaa ya muziki inafaidisha sana wasanii wanaojituma.
Karibu Tuchangie Maoni.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni