Diamond Platnumz Ajitolea kuwafanyia Video ya Gharama vijana wa Yamoto
Band, Video ya wimbo wao mpya ambao umefanywa na Mensen Cheza kwa
Madoido Video yake itafanyika Johannesburg na Director mkubwa wa SA
Godfadher .
Vina wa Yamoto Band wanataraji kupanda pipa J3 Kuelekea SA kwa ajili ya video hiyo ambayo itafanyika J4 na kuungana na Diamond ambaye watamkuta huko.
Vina wa Yamoto Band wanataraji kupanda pipa J3 Kuelekea SA kwa ajili ya video hiyo ambayo itafanyika J4 na kuungana na Diamond ambaye watamkuta huko.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni