vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Alhamisi, 25 Juni 2015

Papaa Msoffe Apata Dhamana Baada ya Kufutiwa Mashitaka ya Mauaji, Sasa Kushtakiwa la Kugushi


Taarifa zinaeleza kuwa Papaa Msoffe Chuma cha reli hatimae amerudi uraiani baada ya mashtaka ya mauaji kubadilishwa na kuwa shtaka la kugushi hivyo anaweza kupata dhamana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni