Papaa Msoffe Apata Dhamana Baada ya Kufutiwa Mashitaka ya Mauaji, Sasa Kushtakiwa la Kugushi
Taarifa zinaeleza kuwa Papaa Msoffe Chuma cha reli hatimae amerudi
uraiani baada ya mashtaka ya mauaji kubadilishwa na kuwa shtaka la
kugushi hivyo anaweza kupata dhamana.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni