Hakika ni majonzi na pigo kubwa kwa Waislam na watanzania kwa ujumla.
Amezaliwa Shaaban na ameondoka ndani ya mwezi wa Shaaban,
Innalilah wainailah Rajiun.
Mwenyezi mungu ampe kauli thabiti na amjaalie pepo ya kheri na kumsamehe madhambi yake.
The Grand Muft of Tanzania has passed away.
Chanzo: Abdul Mohamed

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni