Hii imekua ni wiki mbaya kidogo kwa msanii Harmonize kutoka WCB, mara
baada ya video moja kusambaa sana mitandaoni ikimwonyesha akimtukana
mwanadada Wema Sepetu. Ukweli ni kua Wema ameumizwa sana na video ile
hadi kuenea kwa habari ambazo hazijathibitishwa kua kamfungulia kesi
Harmonize.
Ambacho Harmonize hakujua ni kua Wema ni shabiki wake mkubwa kwani ni zaidi ya mara moja wema ameonekana akiimba wimbo wa msanii huyo. Na kitendo cha Wema kuona video ile kunaweza kufanya akaacha kua shabiki wa Harmonize.
Ambacho Harmonize hakujua ni kua Wema ni shabiki wake mkubwa kwani ni zaidi ya mara moja wema ameonekana akiimba wimbo wa msanii huyo. Na kitendo cha Wema kuona video ile kunaweza kufanya akaacha kua shabiki wa Harmonize.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni