Alikiba alizidi kutoa ufafanuzi kuwa kama binadamu inawezekana ukatoa labda humpendi mtu fulani au msanii fulani kutokana na mambo yake lakini inapokuja kwenye muziki inakuwa tofauti maana msanii anapofanya wimbo mzuri, utajikuta tu unaimba wimbo ule kwa kuwa muziki una nguvu na haina mipaka, wala tofauti.
Alikiba alizidi kusema kuwa hata kama unaweza kuwa unamchukia mtu inafika wakati unasahau na kupotezea na maisha ya kawaida yanaendelea na kujikuta ule utofauti wenu umepotea
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni