The Nchimbiz
vodacom.co,tz
Jumatatu, 20 Juni 2016
Basi la NBS kutoka Dar Kwenda Tabora na Basi la Kisbo, Yamepata ajali Morogoro, Watu Watano Wafariki, 27 Wajeruhiwa
Basi la NBS linalotoka Dar es salaam kwenda Tabora limepata ajali mbaya maeneo ya Chakwale wilayani Gairo mkoani Morogoro.
Taarifa kutoka eneo la tukio zinaarifu kuwa watu 5 wamefariki na 27 wamejeruhiwa katika ajali hiyo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni