vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatatu, 13 Juni 2016

Msanii Rashid Abdallah Makwiro 'Chid Benz' ajiunga katika lebo ya WCB


Msanii maarufu wa miondoko ya kufoka/kurapu Rashid Abdallah Makwiro al maarufu kama CHID BENZ amejiunga rasmi katika lebo ya Wasafi Classic Baby WCB mchana Iliyo chini ya mwanamuziki machachari kabisa Diamond platnumz.

Taarifa hizi zimepatikana kupitia mtu wa karibu sana wa Babu Tale. Na pia kituo cha kuaminika cha redio yaani CloudsFM kimetaarifu mchana wa leo.....

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni