Nuh Mziwanda Ajichora Tatooo ya Mpenzi Wake Mpya...Adai Huyu wa Sasa Amekuja Kwa Gia Kubwa....
Nuh Mziwanda Baada ya Kumpata mpenzi mpya amejikuta amerudia alilofanya
kwa Shilole la Kujichora Tatoo Mkononi ya jina la mpenzi wake huyo
mpya..
Nuh Amesema huyu wa sasa amekuja na gia kubwa sana kiasa anaamini
anampenda kwa dhati, amempa sifa kuwa ni mwanamke anayependa marafiki
zake sana tofauti alivyokuwa shilole...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni