Diamond na Mama Mtoto Wake Zari Hassan Wathibitisha Tetesi za Kuwa Wamenunua Nyumba ya Kifahari South Africa
Diamond na Zari wathibitisha uwepo wa Jumba kubwa la kifahari
walilonunua South Africa kwaajili ya mtoto wao Tiffah! !! Hakika hapa
wametisha mbayaa...unaambiwa hilo Jumba ni shidaaaa...
#ubuyuuuuu
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni