vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatano, 12 Aprili 2017

PICHA: Gari mpya aliyoipost Diamond leo nyumbani kwake South Africa



Staa mwimbaji Diamond Platnumz ametua South Afrika na tayari yuko nyumbani kwake pamoja na mpenzi wake Zari The Bossy Lady. Kati ya vitu amevipost Diamond leo kupitia Instagram yake leo ni pamoja na picha ya gari jipya ambalo kwa mujibu wa maelezo yake amelinunua kwaajili ya kupigia misele atakapokuwa South Afrika.

Diamond ameandika maneno haya :
 “Jus decided to get this for my south african up and downs trip…..👍 #SideChick“


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni