vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumamosi, 17 Mei 2014

HIKI NDIO CHANZO CHA KIFO CHA MWIGIZAJI WA BONGO MOVIE ADAM KUAMBIANA

Adam Kuambiana
Habari zilizoifikia Swahiliworldplanet muda huu ni kuwa muigizaji maarufu wa filamu nchini ambaye pia ni director Adam Kuambiana Amefariki dunia muda mchache uliopita baada ya kuanguka ghafla akiwa location. Chanzo makini ambacho pia ni star mkubwa wa filamu nchini kimeitumia ujumbe SWP uliosomeka "msanii Adam Kuambiana amefariki dunia sasa hivi, alikuwa location kaanguka ghafla, maiti ipo hospital ya Marie Stopas, Mwenge, Dar es salaam. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Ameen.

Enzi za uhai wake Kuambiana alianza kujipatia umaarufu baada ya kuigiza filamu ya Fake Pastors na baada ya hapo kucheza filamu nyingi zilizompa umaarufu kabala ya kuanza kuwa director.

Tutawaletea updates zaidi kuhusu kifo cha Kuambiana ambacho ni pigo katika tasnia ya filamu nchini.

                                                      Adam Kuambiana
SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni