Jokate:Naogopa Sana Kufa, Nikiumwa Kidogo tu Nahisi ni Dengue
Alisema
“Ninauogopa sana huu ugonjwa wa Dengu maana nasikia ni hatari sana, basi mimi nikiumwa kidogo tu nahisi ndio tayari nimeukwaa na sijui hata unatibiwa vipi, naogopa sana kufa,” alisema Jokate.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni