MAJONZI: MWANAMUZIKI MKONGWE WA MUZIKI WA DANCE HAPA NCHINI AFARIKI DUNIA LEO

MWANAMUZIKI aliyejinyakulia umaarufu mkubwa katika muziki wa Dance kupitia bendi ya mumini mwijuma (TAMTAM BAND) Baada ya hapo alihamia ulaya na kujiunga katika Bendi ya JAMBO SURVIVORS,

Leo masaa machache yaliyopita ameripotiwa kufariki dunia huko nje ya
nchi, Kwa habari kamili elendea kufatilia hapa katika tovuti hii.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni