vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumanne, 20 Mei 2014

Picha 18 kinachoendelea kwa sasa Leaders kwenye msiba wa Adam Kuambiana.

3kuambianaKwa sasa kutoka hapa Leaders ni watu mbalimbali wanatoa heshima zao za mwisho wakiwemo waigizaji mbalimbali ambao marehemu Adam Kuambiana aliwahi kufanya nao kazi na wengine ambao hawakuwahi kufanya nae kazi,kwa mujibu wa ratiba iliyotangazwa mazishi yanategemewa kufanyika saa 9 kwenye makaburi ya Kinondoni.
Miongoni mwa watu waliokuwa na simanzi zaidi mpaka wakashindwa kuongea ni Jb hakumalizia kuongea akawa anataka kudondoka chini,endelea kufatilia millardayo.com kwa taarifa zaidi.
1kuambiana
9kuambiana
18kuambiana
17kuambiana
16kuambiana
15kuambiana
14kuambiana
13kuambiana
12kuambiana
11kuambiana
10kuambiana
8kuambiana
7kuambiana
6kuambiana
5kuambiana
4kuambiana

1kuambiana

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni