HUZUNI MAJONZI: MAMA MZAZI WA ZITTO KABWE AFARIKI DUNIA
Ni taarifa nilizopata asubuhi ya June 1 2014 kuhusu kifo cha mama mzazi
wa mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe aitwae Bi Shida ambapo
aliethibitisha kifo hicho ni Zitto Kabwe mwenyewe.
Hii
ni May 25 2014 wakati Rais Kikwete alipomtembelea mama Zitto ICU kwenye
hospitali ya AMI Dar es salaam.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni