BREAKING NEWZZZ!! HABARI ZINAZOAMINIKA KWAMBA WEMA SEPETU NA DIAMOND TAYARI WAMESHAFANYA TUKIO HILI KWA SIRI YA HALI YA JUU, SOMA HAPA
Hapa unaweza
ukabaki na Mshangao wa hali ya juu sana, kwanini?? Sasa kama ulidhani
kwamba ama mawazo yako yalikufikisha kuwa Msanii nyota wa Bongo fleva
atafunga Ndoa Kubwa ambaya haijawahi kutokea Hapa Tz. Basi mawazo yako
yamekupeleka mbali sana!!
Kwa habari za kuaminika kabisa ni kuwa Tayari WEMA NA DIAMOND wameshafunga Ndoa tena kwa siri ya hali ya juu sana, Mmoja wa watangazaji maarufu katika kipindi chake kinachorushwa usikuwa kuanzia saa 10 pale Radio ya watu.. aliweka wazi kuwa tukio hilo limefanyika tena kwa siri usiku wa kuamkia Leo.. huku akiendelea kufunguka na kusema kuwa habari hizo amezipata kwa mtu wa karibu sana kutoka kwa familia hiyo....
Kwa usdhibitisho zaidi wema sepetu akaweka Post hii kwenye Account yake ya Instagram akiuweka Uma wazi kabisa ukwa tayari ameshakuwa Mke halali wa Diamond Platnumz...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni