vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatatu, 21 Julai 2014

 Mr. Tanzania Adata na penzi la Jack Wolper 

Modo  wa  Tanzania  anayejulikana  kwa  jina  la  Calisah  ambaye  amewahi  kushiriki  Mr.Tanzania  2013-2014  ameandika  picha  za  kimahaba  katika  picha  za  msanii  maarufu  wa  filamu, Jackline  Wolper  ‘Gambe’…

Umenifanya  nisitamani  mwanamke  yeyote  katika  dunia hii.Nakupenda  sana  Wolper  Gambe  wangu  coz  i get everything  from  you.I love  you  kamdoli  kangu, kichuna  changu,”  hayo  ndo  maneno  ya  kimahaba  aliyoyaandika  na  kumtumia  Wolper.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni