Mr. Tanzania Adata na penzi la Jack Wolper
Modo wa Tanzania anayejulikana kwa
jina la Calisah ambaye amewahi kushiriki Mr.Tanzania 2013-2014
ameandika picha za kimahaba katika picha za msanii maarufu wa
filamu, Jackline Wolper ‘Gambe’…
“Umenifanya nisitamani mwanamke yeyote katika dunia hii.Nakupenda sana Wolper Gambe wangu coz i get everything from you.I love you kamdoli kangu, kichuna changu,” hayo ndo maneno ya kimahaba aliyoyaandika na kumtumia Wolper.
“Umenifanya nisitamani mwanamke yeyote katika dunia hii.Nakupenda sana Wolper Gambe wangu coz i get everything from you.I love you kamdoli kangu, kichuna changu,” hayo ndo maneno ya kimahaba aliyoyaandika na kumtumia Wolper.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni