HAYA NDIYO YALIYOJIRI KWENYE TAMASHA LA FIESTA TANGA
Tanga usiku wa jana yaani August 23 wamepata burudani za shangwe ya
Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika katika viwanja vya Mkwakwani ambapo
zaidi ya wasanii 18 walitoa burudani.
Tamasha hilo lilihudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Tanga Mjini,
Halima Omary Dendego ambaye pia alipata fursa ya kukabidhi zawadi ya shilingi milioni moja kwa washindi wa kudansi. Wasanii waliotoa burudani ni pamoja na Young Killer, Recho, Roma, Mr Blue, Nay wa Mitego, Stamina, Khadija Maumivu, Madee, Ali Kiba, Ommy Dimpoz, Ya Moto Band, Chege na Temba, Linah,Vanessa Mdee, Edu Booy, K.Star, Mo Music Baikoko pamoja na Jux.
Tazama picha
Tamasha hilo lilihudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Tanga Mjini,
Halima Omary Dendego ambaye pia alipata fursa ya kukabidhi zawadi ya shilingi milioni moja kwa washindi wa kudansi. Wasanii waliotoa burudani ni pamoja na Young Killer, Recho, Roma, Mr Blue, Nay wa Mitego, Stamina, Khadija Maumivu, Madee, Ali Kiba, Ommy Dimpoz, Ya Moto Band, Chege na Temba, Linah,Vanessa Mdee, Edu Booy, K.Star, Mo Music Baikoko pamoja na Jux.
Tazama picha
Mkuu wa wilaya ya Tanga Mjini, Halima Omary Dendego akiteta jambo na
Mkurugenzi mzalishaji wa vipindi Clouds Media, Ruge Mutahaba
Young Killer akifanya yake
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni