Diamond Platnumz yupo Africa kusini kwa hili…
Siku ya leo mwanamuziki nguli wa Bongo fleva , Diamond
Platnumz yupo nchini Africa Kusini akishoot kipindi na Televisheni ya
MTVBase ya nchini humo. Bado haikuweza kujulikana kipindi hicho kinahusu
nini lakini itaelekea kitakua si tu kuhusu Diamond bali Tanzania kwa
ujumla baada ya Diamond kuanza kurekodia kipindi hicho kwenye balozi za
Tanzania nchini Africa kusini…
gud
JibuFuta