Mwigizazi Lulu Michael Kuihama Bongo, Sasa Kuhamia Kenya
Bila kutaja jina la kituo hicho cha Televion myetishaji wetu alisema mwakilishi wa Kituo hichi alitua hapa nchini kuweka mambo sawa..Inasemekama kituo hicho kilisha onyesha nia ya kumchukua muda mrefu na ndio maana Lulu Akawa Bize sana na Masomo ya kujifunza kingereza ili asije akaaibisha akienda huko kwa Kenyata
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni