
Halima Mdee akiwa na mbunge mwenzie Mwita Waitara wa jimbo la Ukonga pamoja na makada wengine watatu wa Chadema wamekana shitaka hilo na wametakiwa kujidhamini wenyewe kwa kiasi cha Shilingi Milioni mbili kila mmoja.
Mahakama hiyo imewaachia kwa dhamana baada ya kuweza kujidhamini
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni