vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumanne, 27 Januari 2015

Hivi Ndivyo Millard Ayo Alivyosherehekea Siku ya Kuzaliwa Kwake Pembeni ya Mrembo Jokate Mwegelo kama Mpenzi Wake

Hivi Ndivyo Millard Ayo Alivyosherehekea Siku ya Kuzaliwa Kwake Pembeni ya Mrembo Jokate Mwegelo kama Mpenzi Wake

Mtangazaji wa kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM, Millard Ayo, jana alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.

Kwenye party yake ndogo ambayo aliamua kuifanyia nyumba kwake, ni msichana mmoja tu special aliyepata nafasi exclusive ya kusherehekea naye – Jokate Mwegelo.

“This is what you do after you cook. You eat cake lol. Happy Birthday to the GREATEST to ever do it @millardayo,” alitweet Jokate.

Siku za hivi karibuni wawili hao wamekuwa wakidaiwa kuwa na uhusiano. Hata hivyo Jokate alikanusha.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni