Mwamanuziki wa Bongo Flava ajulikanae kwa jina la Imbella Amejitokeza na
kudai kuwa Aliyekuwa Mke wa Bob Junior kwa sasa ni Mpenzi wake na wana
pika na kupakuwa kama kawa, Msanii huyo amedai kuwa yeye na Bob Junior
walikuwa Marafiki sana kabla ya Bob Kumuacha Mkewe huyo...
Kuna story kwamba walianza uhusiano wao tangu mwezi February baada ya ndoa ya Bob Junior kuvunjika.
Hata hivyo Bob Junior alipoulizwa kuhusu hilo alisema hana mpango wa
kuoa kwa sasa, na hajisikii wivu kuona mpenzi wake wa zamani akiendelea
na mtu mwingine.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni