Kama ilivyokuwa kwa Miss wa Tanzania Sitti Mtemvu Kujivua Taji la Umiss
Baada ya watu kushikilia amedanganya umma kuhusu umri wake..Miss
Zambabwe kwa Jina Emily Kachote limemtoa
la kutokea baada ya Kuvuliwa Taji la Ummiss wa nchi hiyo mwaka huu
baada ya Picha zake za utupu kuzagaa mitandaoni..Watu wengi wamefurahi
kitendo hicho cha kuvuliwa Taji Miss Huyo kwani Toka mwanzo wengi
walikuwa wanasema hakustahili ushindi huo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni