vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatatu, 20 Juni 2016

Picha: Maisha ya Siwema wa Nay wa Mitego baada ya kutoka jela


Mzazi mwenzake na msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema Edson anaendelea kufurahia maisha ya uraiani ikiwa ni mwezi mmoja toka mahakama ya Mwanza kutengua kifungo cha miaka miwili jela na kumhukumu kifungo cha nje cha miaka miwili.

Aprili mwaka huu mahakama hiyo ilimtia hatiani mrembo huyo kwa kosa la kutukana matusi kwa njia ya mtandao.

Hata hivyo mpenzi wake wa zamani Nay wa Mitego ndiye aliyemsaidia kutenguliwa kwa kifungo hicho cha miaka miwili jela na kuwa cha nje.
Siwema akiwa na kijana anayedaiwa kuwa mpenzi wake

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni