vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatatu, 20 Juni 2016

Picha: Young Dee apatana na Max Rioba?, washare picha wakiwa pamoja


Jumatano hii litapatikana jibu la kama ni kweli rapper Young Dee amepatana na boss wake wa zamani Max Rioba baada ya wawili hao kugombana miezi kadhaa iliyopita na kila mmoja kufanya kazi kivyake.

Jumapili hii wawili hao walishare picha katika mtandao wa kijamii na kila mmoja kuandika ujumbe wa ‘Happyfathersday#tuongeejumatano’ kauli ambayo imefurahiwa na mashabiki wengi.

Ugomvi wa Young Dee na bosi wake Max Rioba uliibua mambo mengi likiwemo la madai ya rapper huyo kuhusishwa na matumizi ya Madawa ya kulevya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni