Jumapili hii wawili hao walishare picha katika mtandao wa kijamii na kila mmoja kuandika ujumbe wa ‘Happyfathersday#tuongeejumatano’ kauli ambayo imefurahiwa na mashabiki wengi.
Ugomvi wa Young Dee na bosi wake Max Rioba uliibua mambo mengi likiwemo la madai ya rapper huyo kuhusishwa na matumizi ya Madawa ya kulevya.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni