vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatano, 27 Julai 2016

Ajali mbaya sana imetokea jana Kariakoo Gerezani, watu sita wamepoteza maisha papo hapo akiwemo konda wa kampuni ya Uda dereva kakimbia baada ya basi hilo kugongana na Treni...Mungu awalaze mahali pema wote waliopoteza maisha

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni