vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatatu, 19 Mei 2014

DIAMOND ARUDISHA SHUKRANI KWA BLOGGER ALIYE CHORA HII PICHA NA KUMPA PROMO KURA ZA MTV

 
 Ni tofauti kwa wasanii kurudisha shukrani kwa fans mara kwa mara, lakini mwimbaji wa nyimbo za Bongo Fleva ambaye kwa sasa ana shindania tuzo za MTV, Nasibu Abdul aka Diamond Platnumz kupitia account yake ya Instagram ame rudisha shukrani kwa msanii na blogger aliye chora picha ku promo Diamond apigiwe kura kwenye MTV.

Katika picha hii Diamond ameandika "Lol! thanks #FEDE for this One��"

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni