Juzi niliposti picha ya KITALE (Kwasasa unaweza kumuita MKUDE SIMBA) [ONA HAPA]
akiwa anapigwa KISS ZITO na PENNY lenye hisia kali (Daah mtoto P hadi
akafumba macho).....Nikawaachia wadau MKOMENT..Sasa leo tena mwanadada
Penny Kupitia akaunti yake ya INSTAGRAM ametupia hii....Sina cha
ku-comment zaidi ya kukumbuka msemo wa PANAPOFUKA MOSHI....UJUE
KUNA MOTO!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni