vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Jumatano, 28 Mei 2014

Kutana na Flavian Matata -A True Tanzanian beauty queen and fashion model

Sina mengi, huyu ameshafanya mengi kwa jamii, amevutia wengi kufuata nyayo zake, hana SKENDO za kutengeneza kwa makusudi (kama wale wenye TEAM za udaku)...Nyota yake ilianzakung'ara tangu 2007 aliposhinda taji la Miss Universe, Tanzania na kuwakilisha nchi kwenye mashindano hayo kidunia....Huyu ni mwanamitindo mwenye mafanikio kimataifa..., Ana Asasi yake ya kusaidia jamii........Mimi namuita -A True Tanzanian beauty queen and fashion model
Jionee picha zake akiwa katika moments tofauti tofauti
 Kazini...

 GYM...

Kijamii zaidi...ENDELEA HAPA

SHUKA CHINI KUTOA MAONI YAKO

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni