MAPICHA:MWILI WA MSANII RECHO KUSAFIRISHWA KWAO SONGEA KWA MAZISHI
Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere akilia kwa uchungu.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve ‘Nyerere’, mwili wa Rachel utasafirishwa kwenda kwao Songea kwa ajili ya maziko. Habari nyingine za msiba zitatolewa wakati wowote na mtandao huu mara tu zinapopatikana.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni