vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Ijumaa, 4 Julai 2014

ALICHOKISEMA JOKATE KUHUSIANA NA TUHUMA ZA KUA CHANZO CHA NDOA YA EZDEN NA DIDA KUVUNJIKA

 

Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show , Jokate Mwegelo ‘ Jojo ’ amefunguka kuwa hahusiki na kuvunjika kwa ndoa ya Khadija Shaibu ‘ Dida’ kwani ni mshikaji wake na wanaheshimiana . Mtangazaji wa Kipindi cha The One Show, Jokate Mwegelo ‘Jojo ’ .
 
Akijibu tuhuma kuwa , yeye anahusika na kuparaganyika kwa ndoa hiyo kufuatia ‘ ku -fall in love’ kwa mume wa Dida, Edzen Jumanne ambaye ni mtangazaji mwenzake, Jokate alisema : ' Dida' akiwa na Ezden . “Yaani watu wanapenda kuungaunga maneno kweli , jamani mimi siwezi hata siku moja kuwa na Edzen , ni mfanyakazi mwenzangu halafu Dida ni mshikaji wangu siwezi kabisa , tena wasitake kunitibulia .”

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni