Ukweli wa sababu ya ugomvi baina ya watangazaji wa xxl ya cloudsFM huu hapa ….
Siku mbili tatu hivi zilizopita kumetokea maneno mengi
kuhusiana na ugomvi wa kugombania kuhusu compilation album ya fiesta
baina ya DJ Fetty , Adam Mchomvu na B-12. Leo B12 amefunguka kuhusiana
na sababu ya ugomvi huo na kusema haya “
#washkajizangu @thebestfetty
and @adamchomvu
Kwanza
sorry sana Kama lile tukio la juzi kama lilikuzingua. Tuliifanya
maksudi (prank)…..Ni tukio lililosambaa ktk Muda mfupi na Karibu Kila
mtu alipata taarifa…..ukweli ni kuwa matukio meeeengi mtaani yanaendelea
lakini watu wanayapigia kimya sababu unahisi halikuhusu sababu muhusika
Si ndugu wala rafiki…Mpango ni kupaza sauti na kuyafikisha kwenye
vyombo vya usalama matukio yote yanayosababisha amani ivunjike.#PazaSautiUkimyaHausaidii”
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni