Wapenzi wengi wa muziki huu wa bongo fleva walikuwa
wanasubiri kwa hamu sana hii moja ya video kali za Diamond Platnumz
alizoahidi kuziachia siku ya leo tarehe saba, once again Diamond
amefanya yake kwa utofauti mkubwa sana, si kama video nyingine tulizo
zoea kuziona za hapa bongo, kuanzia aidia, location hadi quality ni
tofauti kabisa..pata kuiwatch hapa kwa mara ya kwanza.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni