MMH..FASHENI HIZI JAMANI MAJANGA…KIVAZI CHA JAQUELINE WOLPER CHAZUA GUMZO…! TWENZETU UJIONEE…
Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe
MH! Kigauni kifupi alichotinga staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline
Wolper Massawe katika hafla ya chakula cha usiku iliyoandaliwa na
Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ kimeibua
minong’ono watu kuhoji kulikoni akivae hivyo ndani ya Mwezi Mtukufu wa
Ramadhani. Tukio hilo lilowastaajabisha wengi lilijiri wikiendi
iliyopita katika Mgahawa wa Great Wall uliopo Masaki, Dar ambapo
asilimia kubwa ya waalikwa katika hafla hiyo walisema hakikustaili hasa
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni