MAANDALIZI YA VIDEO YA PROF FT DIAMOND - KIPI SIJASIKIA
Msanii
mkongwe kwenye muziki wa Bongo Fleva, Joseph Haule 'Prof Jay' jana
alikuwa akishoot video yake mpya aliyomshirikisha staa Diamond Platnumz
inaitwa KIPI SIJASIKIA. Video hiyo iliyokuwa ikichukuliwa pale Sinza
Makaburini ilipo Mahakama.
Video imesimamiwa wa Adam Juma kutoka Next Level.
Prof Jay akiwa na Prodyuza, P-Funk Majani,
DJ Choka akiingia mahakamani.
Taswira mbalimbali za mastaa waliomo katika video hiyo.
Jini Kabula & DJ Choka.
Video imesimamiwa wa Adam Juma kutoka Next Level.
Prof Jay akiwa na Prodyuza, P-Funk Majani,
DJ Choka akiingia mahakamani.
Taswira mbalimbali za mastaa waliomo katika video hiyo.
Jini Kabula & DJ Choka.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni