vodacom.co,tz

vodacom.co,tz

Ijumaa, 11 Julai 2014

TAZAMA PICHA UONE JINSI DIAMOND ALIVYOPOKELEWA KAMA MFALME WAKATI AKIWASIL AIRPORT
Nikwa mda mlefu sasa nilikuwa nje ya nchi kwa maswala ya Music,ikiwemo kushiriki utolewaji wa Tuzo za BET zilizofanyika L.A nchini Marekan,na jana ndiyo siku niliyorudi,kiukweli sikutegemea kukutna na nilichokikuta,umati mkubwa wa watu wakliokuwa wamejitokeza kunipokea,kiukweli imenipa faraja sana ,kuona ji kias gani Watanzania wenzangu ,wamekuwa na uzarendo kwangu kiasi hiki,nawashukuru wote walioacha kazi zao,ama kuvunja ratiba zao,na kuja airport kunipokea,Ahsanteni na ninawapenda daima


















Hakuna maoni:

Chapisha Maoni