NISHER ACHANWA KWA KUSEMA UONGO KUMHUSU PRODUCER HUYU WA VIDEO.
Katika
pitapita zangu leo Facebook nkakutana na post ya aliyekua muandaaji
mwenza wa Nisher Director wa video za mziki hapa Bongo ikitoa ufafanuzi
kuhusu alichokiandika Nisher katika ukurasa wake Facebook. Bamushka
amesema kua alichokiandika Nisher ni uongo na huu ndo ukweli aliouandika
Facebook "NISHER WEWE HUKUNIFUNDISHA MIMI NNA ELIMU YANGU KUBWA TU YA
PRODUCTION
NA ULINIKUTA NAYO....FOR REAL IMESKITISHWA NA POST ZAKO ZOTE MBILI
NILIAMUWA KUKAA KIMYA COZ MIMI NI MTU MZIMA NA NAJUWA NINI NAFANYA NA
NAJUWA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI UNAISHIA WAPI ... BUT NAONA STIL
UNAENDELEA KUDANGANYA WATU KWA KUNICHAFUWA MIMI NIONEKANE NIME KU
SNITCH...UKWELI NI KWAMBA SIWEZI FANYA KAZI ISIYO NA FAIDA MIMI NI MTU
MZIMA NAHITAJI KU RUN MAISHA YANGU KUPITIA KILE NNACHOKIFANYA ASA KAMA
HAKUNA
MASLAHI KWANINI NIENDELEE KUWA UNDER YOU? ( sifanyi kazi isiyo na faida
) .... THEN VIDEI ZOTE ULIZO ZITAJA HAPO JUU WEWE HUKUHUSIKA HATA
KIDOGO YANI HATA KIDOGO HIZO VIDEO HAZIPO UNDER N.E HIZO ZIPO UNDER
ME...MPAKA ZINAFIKA INTERNATIONAL LEVEL U JUST KNOW NOTHING ABOUT IT IS
JUT MY OWN POWER...ZINGAITIA HAKUNA ULICHONIFUNDISHA BUT
TUMEFUNDISHANA...WEWE HUJANIFUNDISHA WAPO WALIONIFUNDISHA NA WAMEKAA
KIMYA... KAMA UMENIFUNDISHA HEBU FANANISHA VIDEO YA CHIN BINZ - LET ME
KNOW NA YA LUCCI - SUMU ZOTE NI WHITE SCREEN NA TULITOA AT THE SAME
TIME...HIVI NI VIDEO YANGU GANI WE USHAWAHI KUJA LOCATION KAZI YA HIZO
ULIZOZITAJA HAPO JUU?... ME SIWEZI LOST A DAYS KUFANYA KAZI
ISYONIINGIZIA PESA COZ MIMI SIO KAMA WEWE UKIRUDI HOME UNAKUTA FOOD ON
THE TABLE..MEN I DO MY OWN HUSTLING NAHITAJI FIGHT FOR MA OWN...SOO MIMI
KUACHA KUFANYA KAZI NA WEWE ISIKUUME KIASI CHA KUKESHA UNA POST POST
SHIT ABOUT ME...UKWELI NI KWAMBA NAHITAJI FANYA MISHE ZANGU AU WEWE
HUPENDI MIMI NIKIFANIKIWA ? SOMETIMES ETI UNANIKATAZA NISIPIGE STORY NA
Hanscana dE Lavenche
HIVI WE UNAJUWA ME NA HUYU JAMAA TUMETOKA FAR KIASI GANI ?...MEN ME SIO
DIRECTOR WA FACEBOOK WALA INSTAGRAM KAMA WEWE...NYAMAZA LET WORK MAKE
NOISE...KUWA MWANAUME SOMETIMES ... AM DONE ... 1 COPPY TO DIRECTOR
HANSCANA Minzi Mims Jozeey Joseph Adam Shani Shine Ande John Cyrill Kamikaze G-The Navigator George Laurent F J Kimbatu Jimmy Cooge Guru G-lover NA WOTE WANAOTUFAHAMU SINCE DAY 1"
Nisher nae aliandika kua "Nisher Entertainment Inasikitika kuwataarifu Wadau wake wote na Mashabiki wote wa kazi zetu Kua Khalfani Bamushka hatakua Akifanya kazi pamoja nasi Tena!
Ni kama mwaka na Nusu sasa NISHER (C.E.O and President wa NISHER ENTERTAINMENT) Ali-gundua
Kipaji Cha khalfani kwa njia ya facebook.. na baada ya hapo walikutana
na kuanza kufanya kazi pamoja... Khalfani amejifunza Mengi Kuhusu Video
Production Kutoka kwa Mshindi wa Tuzo Za watu 2014 Director Nisher,
katika kipindi chote alichokaa kwa karibu sana na Nisher. Khalfani
aliweza pia kupata nafasi ya kufanya videos alizozioongoza yeye mwenyewe
Chini ya Nisher Entertainment kama "LET ME KNOW" ya Chin Bees
iliyo pata kuchezwa Channel O...., pamoja na Video Mpya Ya Baby Madaha,
Pamoja na Kazi Nyinginezo Nyingi ambazo zilimwezesha Kupata Jina na
Kujiweka vizuri zaidi katika Uongozaji na Uandaaji wa Videos.
Nisher Entertainment Pamoja na C.E.O. wake Tunatambua Juhudi na Bidii
aliyokua nayo Khalfani na Tunamshukuru Kwa Mchango wake Katika
Kufanikisha Shughuli zote za Nisher Entertainment.
Mwisho....Nisher Entertainment inaendelea kufanya Msako wa Vipaji mbali
mbali ili kuwapa Ajira vijana wetu kupitia Mitandao ya kijamii... hivyo
wadau wote na wote wale wanao penda kazi zao zionekane Msiache kuzituma
kwenye inbox yetu....Tunawashukuru kwa kuendelea ku-Support kazi zetu!
Ahsanteni.
NISHER ENTERTAINMENT"
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni